Skip to main content

Posts

MAMA AZIDI KUTAJWA KAMA RAISI SHUJAA

WOW..JUST WOW πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»..Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametajwa na Jarida la TIME 100 katika orodha ya Viongozi 100 wenye ushawishi mkubwa zaidi duniani  Jarida hili limesema Rais Samia ametajwa kutokana na uongozi wake wa kusisimua tangu alipoingia madarakani March 2021 na kuleta mabadiliko makubwa kwa nchi ya Tanzania ikiwemo kufungua mlango wa mazungumzo kati ya Wapinzani wa kisiasa kitendo kilichoashiria kujenga upya imani katika kidemokrasia, juhudi za kuongeza uhuru wa vyombo vya habari na amekuwa mfano wa kuigwa na Wanawake na Wasichana. Kwenye orodha hii Rais Samia yupo na Viongozi wengine kama Rais Biden wa Marekani, Rais Xi Jinping wa China, Rais Volodymir Zelenskyy wa Ukraine na Rais Vladimir Putin wa Urusi. Mama anaweza sana na anafit mno...yani kiatu cha urais kimemtosha kabisa...πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»Dunia imejionea  yenyewe haya makubwa anayoyafanya Mhe.Rais....  *Hakika tupo mikono *salama ya Rais Awamu Ya 6 Mhe.Samia Suluhu Hassan...*  TanzaniaIm...

MENGI YAMEFANYIKA NDANI YA MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA

  MENGI YAMEFANYIKA NDANI YA MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA Mengi yamefanyika chini ya Mwaka Mmoja. Nayakumbuka haya machache ya Mwaka mmoja wa Rais Samia ongeza yako 1. Amepunguza gharama za matibabu ya figo kwa asilimia 66.  2. Amejenga madarasa 15000 nchi nzima.  3. Amevifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa.  4. Amemalizia Ujenzi wa Daraja la Tanzanite. 5. Amepandisha mishahara kwa Wafanyakazi kwa asilimia 23.3 6. Amefuta stakabadhi ghalani kwa mazao ya Pamba,dengu Choroko, mbaazi na Ufuta.  7. Amepandisha bei ya mbaazi kutoka shilingi mia 300 kwa kilo hadi shilingi 3000. 8. Miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji ulikua kwa 400% Ukafikia US$3BL toka US$510M | Nikaribu mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho.  9. Amepandisha Bajeti ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege inaweza kujenga mara mbili ya barabara zote za lami zilizojengwa kwa miaka mitano iliyopita. Barabara zinaendelea kujengwa.  10. Ameongeza bajeti...

ADOLF HITTLER DOESN'T TELL US, IT KNOWS 10 THINGS ABOUT WAR ADOLF ALOYCE HITLER.

   ADOLF HITTLER DOESN'T TELL US, IT KNOWS 10 THINGS ABOUT WAR ADOLF ALOYCE HITLER.  1. Hittler Celebrates His Birthday In Germany In War.  Listen to the Story, Adolf Hittler gathered his followers at least 21 levels and told them that he planned to leave Berlin soon but first and foremost there is an event he plans to do before he decides to leave Berlin, after saying so.  as Elder Hittler who is dependent on what is left but encouraged them that the Position will be filled by Joseph Gaobells His friend Kindaki ndaki, While Little Little was looking forward to Celebrating his Birthday which was 19/04/1945.  2. Adolf Lost He and His Wife As The War Continued And His Soldiers Believed Hitler Was Still Alive.  As of 20/4/1945 Mr Hittler was no longer visible and many believed that he had already left Berlin and disappeared.  of the departure of the Hittler they believed that he was still alive and continued to receive an Order or a Command from Abov...

ROYAL TOUR FILM IN TANZANIA

  ROYAL TOUR FILM IN TANZANIA   The film which started recording _August 29,2021_ and the director of the film is _PETER GREENBERG accompanied by the President of the United Republic of Tanzania Hon.  Samia Suluhu Hassan_ where they visited various attractions including Stone Town and Parks found in Mainland Tanzania.  Royal Tour is a one-hour and 58-minute film featuring Advertising and Introduction and will feature two languages ​​Kiswahili and English.  Where Tanzania is the Ninth (9) nation to participate in the program.   WHAT ARE THE GOALS OF THE ROYAL TOUR FILM  Film is one of the Performing Arts which is a literary work that carries an image or message that conveys to the audience For the community that receives this message through the exhibition.  This can be teaching or demonstrating something so that people will be able to recognize it or be educated with it.  Thus the Royal Tour Film carries a message with a number of goals where...

BENEFITS OF ROYAL TOUR IN TANZANIA ESPECIALLY IN TOURISM SECTOR AND INVESTMENT

  BENEFITS OF THE ROYAL TOUR FILM TO PROMOTE TANZANIA TOURISM AND INVESTMENT.  History is officially written today Monday April 18 2022 on International Aviation where the Royal Tour for Tanzania Tourism and Investment Promotion will be officially launched in New York USA and will be screened all over the world to attract more tourists and investors to visit the country and perform. business with us.  In early September last year, 2021, President Samia Suluhu Hassan began filming this popular Royal Tour film in various parts of Zanzibar, Bagamoyo, Arusha, Mara and other parts of the country with the aim of promoting Tanzania International in the area of ​​tourist attractions. tourism, investment areas, arts and culture of the people of Tanzania.  Upon completion, the film, which aims to promote Tanzania International, is officially launched for the first time today in New York in the United States, then Los Angeles, Dar es Salaam and Zanzibar and continues to be sh...